Mkuu
 wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza akizungumza wakati alipofungua Mkutano
 wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye 
ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga.
Kaimu
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Michael Mhando 
akizungumza Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima 
ya Afya leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga kulia ni 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza.
Kaimu
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Michael Mhando 
kushoto akiingia kwenye ukumbini wakati wa Mkutano wa Baraza la 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye ukumbi wa Ofisi
 ya Mkuu wa mkoa wa Tanga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu 
Mahiza.
Kaimu
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya,Michael Mhando 
akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa mfuko huo wakati wa Mkutano wa 
Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo kwenye 
ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tanga kulia ni Mkuu wa Mkoa wa 
Tanga,Mwantumu Mahiza na wa mwisho kulia ni Meneja wa NHIF Mkoa wa 
Tanga,Ally Mwakababu.
MKURUGENZI
 wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii 
Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti akifuatilia kwa umakini hotuba ta mkuu 
wa mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza wakati wa Mkutano wa Baraza la 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya uliofanyika leo mjini 
Tanga. 
MKURUGENZI
 wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii 
Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti wa kwanza kushoto akiimba nyimbo ya 
solidarite na wafanyakazi wenzake wakati wa Mkutano wa Baraza la 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya uliofanyika leo mjini 
Tanga.
Baadhi
 ya wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakifuatilia 
mambo mbalimbali wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa 
Taifa wa Bima ya Afya uliofanyika leo mjini Tanga. 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)wakiwa mkutanoni leo.
Mkuu
 wa Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza akiwa kwenye picha ya pamoja na 
wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo mara baada ya kufungua
 Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kulia kwake ni Kaimu Mkuu Mkurugenzi 
wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Michael Mhando.
Kaimu
 Mkuu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Michael Mhando
 akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga mara baada ya kufungua mkutano wa 
Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Picha na Tanga Raha Blog.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni