DEREVA TEKSI ASHIKILIWA MAREKANI KWA MAUAJI YA WATU SITA

Dereva wa teksi anashikiliwa kwa kuhusika na vifo vya watu sita katika tukio la mashambulizi ya risasi kwenye mji wa Kalamazoo uliopo Michigan nchini Marekani.

Dereva huyo Jason Brian Dalton, 45, alikamatwa baada ya kushambulia maeneo matatu siku Jumamosi usiku.

Imethibitishwa kuwa Bw. Dalton alikuwa ni dereva wa teksi wa kampuni ya teksi inayosuasua ya Uber.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni