Baadhi
 ya wanafunzi wa Chuo cha VETA NJIRO, waliohudhuria kwenye mafunzo ya 
usalama na wizi wa umeme wa kwanza (Kushoto) ni Afisa Huduma kwa wateja 
Bw. Juma Msuya.
 Mwanafunzi wa Chuo cha Veta kilichopo Oljoro mkoani Arusha akiuliza swali kwa wataalamu wa TANESCO katika mafunzo hayo.
 Baadhi
 ya wanafunzi wa Shule ya Msingi  Oldonyo Sambu ya Mkoani Arusha wakiwa 
na zawadi zao walizopewa na wataalam wa TANESCO kama zawadi za kushiriki
 vyema katika mafunzo hayo na kujibu na kuuliza maswali, kushoto ni 
Afisa Mahusiano na Wateja Mkoa wa Arusha Bw.Fred Mbavai.
 Baadhi
 ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbweni ya jijini Dar es Salaam wakiwa 
tayari kuwapokea wataalam kutoka TANESCO kwa ajili ya kupokea elimu 
kuhusu masuala mbalimbali ya umeme.
  Afisa
 Masoko  Bi. Jenifer Mgendi kutoka Shirika la Umeme (TANESCO)     akitoa
 zawadi kwa wanafunzi waliojibu maswali vizuri wakati wa utoaji elimu ya
 masuala ya umeme, katika Shule ya Msingi Tandika ya jijini Dar es 
Salaam.
Baadhi
 ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Kisukuru ya jijini Dar es Salaam, 
wakishangilia zawadi walizopewa wakati wa wataalam kutoka TANESCO 
walipotoa elimu ya masuala ya umeme. Katikati ni Afisa Uhusiano 
Bi.salama Kasamalu.






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni