Naibu 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji (katikati) akikata utepe
 kuzindua rasmi Tawi jipya la Benki ya Amana, wakati alipokuwa 
akimwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. 
Samia Suluhu Hassan kuzindua Tawi hilo lililofunguliwa leo Feb 25, 2016 
Mbagala Zakiem jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki hiyo, 
Dkt. Muhsin Salim Masoud (kushoto) ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi,
 Abdallah Al- Nahdi. Picha na Sufianimafoto Blog
Naibu 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji, akisoma hotuba yake ya 
uzinduzi wa Tawi jipya la Benki ya Amana lililofunguliwa Mbagala Zakiem 
jijini Dar es Salaam, ambapo Mhe. Kijaji alimwakilisha Mhe. Makamu wa 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwenye 
uzinduzi huo.
Mkurugenzi
 wa Benki Amana, Dkt. Muhsin Salim Masoud, akizungumza kabla ya 
kumkaribisha mgeni rasmi, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu
 Kijaji, kuzindua Tawi hilo kwa niaba ya Makamu wa Rais Mhe. Samia 
Suluhu Hassan.
Mwendesha shughuli MC, Saleh, akiongoza hafla hiyo ya uzinduzi....
Ustaadh, akiomba dua ya ufunguzi wa shughuli hiyo.....
Naibu 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji, akifunua kitambaa kama 
ishara ya kuweka Jiwe la msingi katika Jengo la Benki ya Amana, wakati 
alipokuwa akimwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuzindua Tawi jipya la Benki hiyo 
lililofunguliwa Mbagala Zakiem jijini Dar es Salaam, leo Feb 25, 2016. 
Kulia ni Mbunge wa Viti maalumu CCM, Mariam Kisangi (kulia kwa Waziri) 
ni Mkurugenzi wa Amana Benki, Dkt. Muhsin Salim Masoud (na wa pili 
kulia) ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Abdallah Al-Nahdi.
Baadhi
 ya wadau na wananchi waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wakimsikiliza
 Mhe. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji, wakati 
akihutubia katika uzinduzi huo, leo. 
Baadhi
 ya wadau na wananchi waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wakimsikiliza
 Mhe. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji, wakati 
akihutubia katika uzinduzi huo, leo. 
Baadhi
 ya wadau na wananchi waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wakimsikiliza
 Mhe. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji, wakati 
akihutubia katika uzinduzi huo, leo. 
Baadhi
 ya wadau na wananchi waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wakimsikiliza
 Mhe. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashantu Kijaji, wakati 
akihutubia katika uzinduzi huo, leo. 
Mkurugenzi wa Benki hiyo, Dkt. Muhsin Salim Masoud, akihitimisha shughuli hiyo....
Ustaadh akisoma dua ya kufunga shughuli hiyo baada ya uzinduzi.....













Hakuna maoni:
Chapisha Maoni