PSPF YAWAPA ELIMU WAJASIRIAMALI JUU YA HUDUMA ZAKE

ps1
Afisa Mauzo na Masoko kutoka PSPF Bw. Ismail Omary kilia akimpa maelekezo ya juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Mfuko huo mgeni rasmi Yeremia Mbaghi kutoka TRA ikiwa ni pamoja na huduma ya uchangiaji wa hiari kwa wajasiriamali.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM).
ps2
Afisa uendeshaji  kutoka PSPF Bw. Delphine Richard akiwaelekeza wajasiriamali umuhimu wa kujiunga na huduma ya uchangiaji kwa hiari kwa faida ya biashara zao na maendeleo yao kwa ujumla. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
ps4
Afisa Mauzo na Masoko kutoka PSPF Bw. Ismail Omary kulia akimpa maelekezo mteja  juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Mfuko huo. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
ps5
Afisa uendeshaji msaidizi aliyekaa kulia Bi. Sophia Msuya akiwapa maelezo wateja juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Mfuko huo. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
ps6
 Afisa uendeshaji msaidizi aliyekaa kulia Bi. Sophia Msuya akiwapa maelezo wateja juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Mfuko huo.(Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni