Afisa Mauzo na Masoko kutoka PSPF
 Bw. Ismail Omary kilia akimpa maelekezo ya juu ya huduma mbalimbali 
zinazotolewa na Mfuko huo mgeni rasmi Yeremia Mbaghi kutoka TRA ikiwa ni
 pamoja na huduma ya uchangiaji wa hiari kwa wajasiriamali.Hafla hiyo 
imefanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM).
Afisa uendeshaji  kutoka PSPF Bw.
 Delphine Richard akiwaelekeza wajasiriamali umuhimu wa kujiunga na 
huduma ya uchangiaji kwa hiari kwa faida ya biashara zao na maendeleo 
yao kwa ujumla. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
Afisa Mauzo na Masoko kutoka PSPF
 Bw. Ismail Omary kulia akimpa maelekezo mteja  juu ya huduma mbalimbali
 zinazotolewa na Mfuko huo. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
Afisa uendeshaji msaidizi 
aliyekaa kulia Bi. Sophia Msuya akiwapa maelezo wateja juu ya huduma 
mbalimbali zinazotolewa na Mfuko huo. (Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
 Afisa uendeshaji msaidizi 
aliyekaa kulia Bi. Sophia Msuya akiwapa maelezo wateja juu ya huduma 
mbalimbali zinazotolewa na Mfuko huo.(Picha na Benjamin Sawe-WHUSM)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni