Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa Mh. 
Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la 
Sweden waliomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge
 jijini Dar es salaam leo  na kujadilia mambo mbalimbali juu ya 
ushirikiano wa mabunge hayo.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES 
SALAAM)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akionyesha zawadi aliyompatia 
Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la 
Sweden waliomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge
 jijini Dar es salaam leo  na kujadilia mambo mbalimbali juu ya 
ushirikiano wa mabunge hayo.
Nibu Spika wa Bunge la Tanzania 
Mh. Dk. Tulia Akson akishiriki katika mkutano huo, katikati ni Katibu wa
 Bunge Dk. Thomas Kashilila na kushoto ni Bw. Jossey Mwakasyuka kutoka 
Bunge la Tanzania. 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akimsikiliza  Mh. Kenneth G. 
Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden waliomtembelea
 Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge jijini Dar es salaam
 leo 
 Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi
 wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden akizungumza wakati ujumbe huo 
ulipomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge jijini
 Dar es salaam leo, Katikati ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Balozi 
Katarina Rangnitt na kushoto ni Mh. Maria Anderson Mbunge wa bunge la 
Sweden.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akiakimsikiliza kwa makini 
Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la 
Sweden. wakati ujumbe huo ulipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es 
salaam
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akizungumza na ujumbe huo 
katikati  Naibu Spika wa Bunge Mh. Dr. Tulia Akson na kushoto ni Katibu 
wa Bunge Dk Thomas Kashilila.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai na Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi 
wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden wakiwa katika picha ya pamoja 
kutoka kulia ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mh. Katarina Rangnitt ,
 Naibu Spika wa Bunge Mh. Dk Tulia Akson na Kushoto ni Katibu wa Bunge 
Dk. Thomas Kashilila.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai na Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi 
wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden wakiwa katika picha ya pamoja 
kutoka kulia ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mh. Katarina Rangnitt ,
 Naibu Spika wa Bunge Mh. Dk Tulia Akson na Kushoto ni Katibu wa Bunge 
Dk. Thomas Kashilila pamoja na wabunge wa bunge la Sweden
Spika wa Bunge la Jamhuri ya 
Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai na Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi 
wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden wakiwa katika picha ya pamoja 
kutoka kulia ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mh. Katarina Rangnitt ,
 Naibu Spika wa Bunge Mh. Dk Tulia Akson na Kushoto ni Katibu wa Bunge 
Dk. Thomas Kashilila, Wabunge wa bunge la Sweden pamoja na maofisa wa 
bunge la Tanzania.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni