SPIKA WA BUNGE MH. JOB NDUGAI AKUTANA NA UJUMBE WA BUNGE LA SWEDEN JIJINI DAR ES SALAAM


1
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden waliomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge jijini Dar es salaam leo  na kujadilia mambo mbalimbali juu ya ushirikiano wa mabunge hayo.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
2
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akionyesha zawadi aliyompatia Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden waliomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge jijini Dar es salaam leo  na kujadilia mambo mbalimbali juu ya ushirikiano wa mabunge hayo.
3
Nibu Spika wa Bunge la Tanzania Mh. Dk. Tulia Akson akishiriki katika mkutano huo, katikati ni Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilila na kushoto ni Bw. Jossey Mwakasyuka kutoka Bunge la Tanzania. 
4
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akimsikiliza  Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden waliomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge jijini Dar es salaam leo
5
 Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden akizungumza wakati ujumbe huo ulipomtembelea Spika wa Bunge la Tanzania katika ofisini za bunge jijini Dar es salaam leo, Katikati ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Balozi Katarina Rangnitt na kushoto ni Mh. Maria Anderson Mbunge wa bunge la Sweden.
6
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akiakimsikiliza kwa makini Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden. wakati ujumbe huo ulipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam
7
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai akizungumza na ujumbe huo katikati  Naibu Spika wa Bunge Mh. Dr. Tulia Akson na kushoto ni Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashilila.
8
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai na Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden wakiwa katika picha ya pamoja kutoka kulia ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mh. Katarina Rangnitt , Naibu Spika wa Bunge Mh. Dk Tulia Akson na Kushoto ni Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilila.
9
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai na Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden wakiwa katika picha ya pamoja kutoka kulia ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mh. Katarina Rangnitt , Naibu Spika wa Bunge Mh. Dk Tulia Akson na Kushoto ni Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilila pamoja na wabunge wa bunge la Sweden
10
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Job Ndugai na Mh. Kenneth G. Forslund Kiongozi wa ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Sweden wakiwa katika picha ya pamoja kutoka kulia ni Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mh. Katarina Rangnitt , Naibu Spika wa Bunge Mh. Dk Tulia Akson na Kushoto ni Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilila, Wabunge wa bunge la Sweden pamoja na maofisa wa bunge la Tanzania.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni