MEMPHIS DEPAY AFURAHIA MAISHA NA BINTI WA MCHEKESHAJI STEVE HARVEY

Mwanasoka Memphis Depay ameenaswa akifurahi usiku akiwa pamoja na mpenzi wake Lori Harvey usiku wa jumamosi, na hata alipopigwa faini ya kuegesha vibaya gari bado hakupoteza hali ya furaha.

Depay anayechezea Manchester United alikuwa ametoka kwa mlo wa usiku na Lori, mtoto wa kambo wa mchekeshaji Steve Harvey, akiwa na gari lake la kifahari la Rolls Royce linalouzwa paundi 250,000.
                   Memphis Depay akichukua tiketi ya faini ya kuegesha vibaya gari
                                   Licha ya kulambwa faini Depay hakuacha kutabasamu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni