Wamawake
 wakiwa wametandika khanga kwenye wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mkoa wa
 Mtwara, Februari 29, 2016.Waziri Mkuu, Kassim majaliwa alitembelea wodi
 hiyo na kukemea mtindo huo akiwataka wauguzi na waganga kutandika 
mashuka yahospitali ambayo alisema ana taarifa kuwa yapo ili kuepusha 
hatari ya wananwake hao kubeba magonjwa kupitia kahanga hizo watokapo 
hospitalini hapo.
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea hospitali ya Mkoa wa Mtwara Februari 
29, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Halima Dendego na kulia Ni 
Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dkt.Shaibu Maarifa.
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Waganga, Wauguzi na wafanyakazi wa 
Hospitali ya Mkoa wa Mtwara wakati alipoitembelea Februari 29, 2016.
 Baadhi
 ya Wauguzi na Madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara wakimsikiliza 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao hospitalini hapo 
Februari 29, 2016. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim majliwa akitoa agizo la kusimamishwa kazi Daktari wa 
Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Fortunatus Namahala (kulia) baada ya 
kutajwa kuwa alidai rushwa ya sh.100, 000/= ili aweze kumtibu baba mzazi
 wa Tatu Abdallah (wapili kulia) wakati alipoitembelea hospitali hiyo 
Februari 29, 2016.
Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa akiagana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa 
Mtwara, Shaibu Maarifa kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara kabla ya kurejea
 Dar es slaam Februari 29, 2016.
Waziri
 Mkuu, Kassim majaliwa akitazama ngoma kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara 
kabla ya kuondoka kurejea Dar es salaam Februari 29, 2016.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni