OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI KWA WATUMISHI WA UMMA


SONY DSC
Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Mathew Kirama (kushoto) akimsikiliza mwandaaji wa kipindi cha rushwa ni adui wa haki kinachorushwa na TBC Taifa Bi.Miriam Chisoro (kulia) wakati wakijadili mada ya umuhimu wa maadili katika utumishi wa umma ofisini kwa mkurugenzi huyo mapema leo.
SONY DSC
Mwandaaji wa kipindi cha rushwa ni adui wa haki kinachorushwa na TBC Taifa Bi.Miriam Chisoro (kulia) akimuuliza swali Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Mathew Kirama (katikati) wakati wakijadili umuhimu wa maadili katika utumishi wa umma ofisini kwa mkurugenzi huyo mapema leo.
SONY DSC
Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Mathew Kirama (kushoto) akisisitiza uzingatiaji wa Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma wakati wakijadili mada ya umuhimu wa maadili katika utumishi wa umma na mwandaaji wa kipindi cha rushwa ni adui wa haki kinachorushwa na TBC Taifa Bi.Miriam Chisoro ofisini kwa mkurugenzi huyo mapema leo.
rd4Mwandaaji wa kipindi cha rushwa ni adui wa haki kinachorushwa na TBC Taifa Bi.Miriam Chisoro (kulia) akifungua mjadala wa mada ya umuhimu wa maadili katika utumishi wa umma alioufanya na  Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Mathew Kirama ofisini kwa mkurugenzi huyo mapema leo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni