MAZISHI YA MAREHEMU GERVASE RUTAGUZA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO FEB, 26, 2016.

Ndugu wa Marehemu wakiwa katika ibada nyumbani kwa Marehemu Kurasini jijini Dar es Salaam ibada ya kumuaga marehemu Gervase Rutaguza aliyefariki dunia Februari 23 mwaka huu.
Padre wa kanisa Katoliki la Mtakatifu Maurus, Kurasini jijini Dar es Salaam akiombea mwili wa marehemuGervase Rutaguza aliyefariki dunia Februari 23 mwaka huu kwaajili ya kwenda kwenye mazishi katika makaburi ya Chang'ombe Maduka mawili jijini Dar es Salaam leo Februari 26, 2016.






Baadhi ya ndugu na Jamaa wa Marehemu Gervase Rutaguza aliyefariki dunia Februari 23 mwaka huu wakiaga mwili wa marehemu leo katika kanisa Katoliki la Mtakatifu Maurus, Kurasini jijini Dar es Salaam leo Februari 26, 2016.






Ndugu jamaa na marafiki wa Marehem Gervase Rutaguza aliyefariki dunia Februari 23 mwaka huu wakiwa katika ibada katika Katoliki la Mtakatifu Maurus, Kurasini jijini Dar es Salaam leo na kuelekea katika makaburi ya Chang'ombe Maduka mawili jijini Dar es Salaam leo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni