LEO NI BIRTHDAY YA MDAU DIXON BUSAGAGA.


"Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunipa pumzi ya uhai hadi sasa,Nawashukuru wazazi wangu ,Mwl Eustera Massatu na Abdalah Hussein Mbaruku kwa malezi waliyonipatia,nawashukuru ndugu,jamaa na rafiki zangu wote na hasa mke wangu kwa kuendelea kunifunza"
 
"Mungu aawatangulie nyote mnaonendelea kutoa mchango mkubwa wa mawazo"

                                                                                   Mungu awabariki sana ,Ameen.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni