Mmoja
 kati ya wanawake walioshirikia Mafunzo ya Ujasiriamali Kutoka Mkaoni 
Arusha akiwa kwenye Muonekano tofauti Mara na Naada ya Kutumia Vipodozi 
kwa Usahihi baada ya Kuapatiwa Elimu hiyo na wataalamu kutoka Taasisi ya
 Manjano foundation..
Mafunzo
 ya ujasiriamali kwa wanawake wa arusha yameingia awamu ya 
pili.Washiriki wamepata fursa ya kufahamu zaidi kuhusu vipodozi vya 
LuvTouch Manjano na namna ya kuvitumia. Mkufunzi na Mkurugenzi wa 
taasisi ya Manjano Foundation amependekeza wanawake wa jiji la Arusha 
kutumia vipodozi kwa usahihi kwa lengo la kujijengea heshima na 
kujiongezea kipato katika kazi yao ya upambaji.
Mkurugenzi
 wa Taasisi ya Manjano Foundation na Mkufunzi wa Maswala ya Vipodozi 
Mama Shekha Nasser Akitoa elimu Kuhusu Matumizi Sahihi ya Vipodozi 
Kwenye Semina ya Ujasiriamali kwa Wanawake wa Jiji la Arusha 
Akielezea
 zaidi alisema matumizi sahihi ya vipodozi hasa vya LuvTouch Manjano 
vitakupa kazi nzuri na bora ambayo kila mteja ataipenda na kulifanya 
soko la kila mwanamke kukua kutokana na ubora wa kazi ya mikono yake



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni