Mwanafunzi
 wa Chuo Kikuu cha SAUT Mwaka wa(3)jijini Mwanzani,Emanuel 
Simbo(kushoto)akijaribu kumtoka John Lucas wa timu ya walimu,wakati wa 
fainali za mashindano ya  ligi ya Vyuo vikuu iliyodhaminiwa na Vodacom 
Tanzania na kufanyika jijini humo mwishoni mwa wiki,Ambapo timu ya 
walimu lililazwa kwa magoli 6-4.
Baadhi
 ya mashabiki wakishuhudia mtanenge wa fainali za mashindano ya  ligi ya
 Vyuo vikuu vya jijini Mwanza yaliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania 
mwishoni mwa wiki,Ambapo timu ya walimu lililazwa kwa magoli 6-4.
Makamu
 Mkuu wa Chuo Kikuu cha SAUT  jijini Mwanza,Tadeus Mukamwa(wakwanza 
kushoto) akimkabidhi zawadi Farida Abdallah zawadi baada ya timu yake ya
 Netball kuibuka mshindi wa pili wakati wa fainali za mashindano ya  
ligi ya Vyuo vikuu iliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania zilizofanyika  
jijini Mwanza  mwishoni mwa wiki.
Makamu
 Mkuu wa Chuo Kikuu cha SAUT  jijini Mwanza,Tadeus Mukamwa(wakwanza 
kushoto) akimkabidhi zawadi Mary Mshumbusi zawadi baada ya timu yake ya 
Netball kuibuka mshindi wa tatu katika fainali za mashindano ya  ligi ya
 Vyuo vikuu iliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania zilizofanyika  jijini 
Mwanza  mwishoni mwa wiki.
Mkuu 
wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa,Dominician Mkama(kushoto) akimvalisha 
medali Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha SAUT jijini Mwanza,Zuena Rajabu 
baada ya timu yake ya Netball kuibuka kidedea kwa magoli 13-9 wakati wa 
fainali za mashindano ya  ligi ya Vyuo vikuu yaliyodhaminiwa na Vodacom 
Tanzania na kufanyika mwishoni mwa wiki  jijini humo.
Makamu
 Mkuu wa Chuo Kikuu cha SAUT  jijini Mwanza,Tadeus Mukamwa(wapili 
kushoto) akimkabidhi Kapteni wa timu ya Wanafunzi wa Chuo hicho, Sammir 
Emmed Kombe la Ushindi wa mashindano ya  ligi ya Vyuo vikuu 
iliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania zilizofanyika  jijini humo baada ya 
kuishinda timu ya Walimu 6-4  mwishoni mwa wiki,wengine katika picha 
Mhadhiri wa Chuo hicho Padri Leons Maziku(kushoto) Mkuu wa Vodacom 
Tanzania kanda ya ziwa,Dominician Mkama(watatu toka kushoto)
Timu 
ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha SAUT  jijini Mwanza,wakishangialia na 
kombe lao baada  kuibwaga timu ya walimu 6-4 na kuibuka mabingwa wa 
mashindano ya  ligi ya Vyuo vikuu yaliyofanyika jijini Mwanza mwishoni 
mwa wiki na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania. 

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni