Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akifungua Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika
 hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo 
endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo 
Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
\Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akizungumza jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa UNESCO kanda ya Afrika 
Firmin Matoko katikati na mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Tanzania Zulmira 
Rodrigues kabla ya kufungua rasmi Warsha ya pili ya Kimataifa 
inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika
 hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo 
endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo 
Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akizungumza jambo na Balozi wa Korea kusini Nchini Geum-Young Song kabla
 ya kufungua rasmi Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu 
Bayoanuwai  katika
 hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo 
endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo 
Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akimkabidhi Cheti kiongozi wa Spice kutoka Zanzibar ambae ni mmoja kati 
ya washiriki Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika
 hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo 
endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo 
Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akimkabidhi Cheti Judith Mwambela mmoja kati ya washiriki Warsha ya pili
 ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika
 hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo 
endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo 
Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
katikati akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya pili ya 
Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika hifadhi ya kupunguza 
umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa 
Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika 
ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
(Picha na OMR)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni