Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na 
Masheha wa Wilaya za Magharibi “A “na “ B” pamoja na wakuu wao wa Wilaya
 na Mkoa hapo katika Ukumbi wa Kikosi cha Valantia {KVZ} Mtoni nje 
kidogo ya Mji wa Zanzibar
 Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi wa kwanza kutoka 
Kushoto akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Ndugu Mwinyiusi Khamis na
 yule ya Magharibi “B”Nd. Ayoud Mohammed Mahmoud wakifuatilia hotuba ya 
Balozi Seif hayupo pichani wakati akizungumza na masheha wa wilaya zao.
 Baadhi ya Masheha wa Wilaya za Magharibi A na B wakisikiliza hotuba ya 
Balozi Seif wakati alipobadilishana nao mawazo kuhusu suala la migogoro 
ya ardhi katika maeneo yao
 Baadhi ya Masheha wa Wilaya za Magharibi A na B wakisikiliza hotuba ya 
Balozi Seif wakati alipobadilishana nao mawazo kuhusu suala la migogoro 
ya ardhi katika maeneo yao
 Balozi Seif akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Masheha wa 
Wilaya za Magharibi A na B hapo Makao Makuu ya Kikosi cha Valantia 
Mtoni.
 Kulia ya Balozi Seif ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala 
za Mikoa na Idara Maalum ya SMZ Mh. Haji Omar Kheir na Waziri wa Ardhi, 
Maji, Nishati na Mazingira Mh. Salama Aboud Talib.
Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum ya SMZ Mh. Haji 
Omar Kheir akitoa msimamo wa Wizara yake katika kutekeleza agizo la Rais
 wa Zanzibar kuhusu migogoro ya ardhi.
 
 Kushoto ya Mhe. Haji  
Omar ni Makamu wa P;ili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif na Kulia ya Mh. 
Haji ni Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Mh. Salama Aboud 
Talib na Naibu wake Mh. Juma Makungu Juma.
Sheha
 wa Shehia ya Tomondo Bwana Moh’d Omar Said akichangia mawazo katika 
mkutano wao na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar uliofanyika Makao 
Makuu ya Kikosi cha Valantia {KVZ} Mtoni. Picha na - OMPR – ZNZ.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)







Hakuna maoni:
Chapisha Maoni