Makamu
 wa Rais  Samia Suluhu Hassan, akimfariji Bibi Fausta Andreas na Mtoto 
wake Vayalet Michael (2) aliyelazwa katika Hospitali ya rufaa Mkoa 
Morogoro kwa matibabu wakati alipotembelea Hospitali hiyo  April 
17.2016 kwa ajili ya kuangalia utendaji na utoaji huduma kwa Jamii. 
Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
Makamu
 wa Rais Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa 
Morogoro  April 17,2016, wakati alipowasili Hospitalini hapo kwa 
ajili ya kuangalia huduma zinazotolea kwa Jamii katika Hospitali hiyo. 
Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. 
kulia Daktari Mfawizi wa Hospitali hiyp Dr. Rita Lyamuya.
Makamu
 wa Rais  Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa 
Morogoro  April 17,2016, wakati alipowasili Hospitalini hapo kwa 
ajili ya kuangalia huduma zinazotolea kwa Jamii katika Hospitali hiyo. 
Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. 
kulia Daktari Mfawizi wa Hospitali hiyp Dr. Rita Lyamuya.
Makamu
 wa Rais  Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa za aina mbalimbali 
zinazotengenezwa katika kiwanda cha Mafundi Seremala cha (Kimasemo) 
kiliopo Sabasaba Mkoani Morogoro, wakati alipotembelea Kiwanda hicho 
 April 17.2016 kwa ajili ya kukagua kazi zinazofanywa na kikundi hicho 
ambapo ameahidi kuchangia jumla ya Tshs 10 milioni kwa ajili ya 
kuendeleza utendaji wa kiwanda hicho. Makamu wa Rais yupo Mkoani 
Korogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
Makamu
 wa Rais  Samia Suluhu Hassan, akikabidhi hundi ya Tshs 10 Milioni kwa 
Mwenyekiti wa Kikundi cha vijana cha Mafundi Seremala (Kimasemo) Habibu 
Said zilizotolewa na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Azizi Aboud 
kwa ajili ya kuendeleza utendaji wa kiwanda hicho. Makamu wa Rais yupo 
Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
Makamu
 wa Rais  Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na watoto baada ya 
kukamilisha ziara ya kutembelea kiwanda cha Mafundi Seremala cha 
(Kimasemo) kiliopo Sabasaba Mkoani Morogoro  April 17.2016. Makamu wa
 Rais yupo Mkoani Korogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni