Meneja
 wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo (wa pili 
kulia), ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 15 ya Kidato cha 
Sita katika Shule ya Sekondari Kibasila akiwasili shuleni hapo, Kulia ni
 Mkuu wa shule hiyo, Yasinta Matilya. Benki ya CRDB ilitoa msaada wa 
mifuko 70 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa uzio wa shule hiyo katika 
hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).
Wahitimu wa Kidato cha Sita wakimraki mgeni rasmi.
Wanafunzi wa Kidato cha Sita.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kibasila wakiimba wimbo wa Taifa.
Meneja
 wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo (kushoto), 
akipokea risala kutoka kwa Emmanue Moah ambaye ni mwanafunzi wa Kidato 
cha Sita wa Shule ya Sekondari Kibasila wakati mahafali ya 15 ya shule 
hiyo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ilikabidhi mifuko 70 ya saruji 
kwa ajili ya ukarabati wa uzio wa shule hiyo.
Meneja
 wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo (kulia), 
akikabidhi mifuko 70 ya saruji kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Kibasila, 
Yasinta Matilya kwa ajili ya ukarabati wa uzio wa shule hiyo
Mkuu 
wa Shule ya Sekondari Kibasila, Yasinta Matilya (kulia), akimshukuru 
Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo baada 
ya mifuko 70 ya saruji.
Meneja
 wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo na Mkuu wa 
Shule ya Sekondari Kibasila, Yasinta Matilya wakikagua mifuko ya saruji 
iliyotolewa na Benki ya CRDB.

Maktaba ya Shule. 
Wanafunzi wakiwa na furaha.
Wanafunzi  wakiwa na furaha ya kumaliza masomo yao ya Kidato cha Sita.
Meza Kuu.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Kibasila, Yasinta Matilya  akizungumza katika mahafali hayo.
Meneja
 wa Benki ya CRDB tawi la Quality Center, Clementina Kinabo akizungumza 
katika mahafali hayo. Kushoto ni Principal Public Relations Officer wa 
Benki ya CRDB, Willy Kamwela.
Principal Public Relations Officer wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela (wa pili kulia), akiwa katika mahafali hayo. 
Wanafunzi wakiimba nyimbo za kuwaaga wenzao wakati wa mahafali yao.
Wanafunzi wakiwa katika mahafali hayo.
Wanafunzi wakiwa katika mahafali hayo.
Wazazi pamoja na wanafunzi wakiwa katika mahafali hayo.









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni