Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 
Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) akikabidhiana Ofisi na aliyekuwa Waziri wa 
Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme 
Mwadini katika ukumbi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi IkuluMjini Zanzibar baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu 
Mawazi wapya kwa Wizara mbali mbali za Serikali.[Picha na Ikulu.]
 Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora 
Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini akitoa shukurani kwa wafanyakazi 
wakati wa kukabidhi Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti
 wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) katika ukumbi wa Ofisi
 ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu  Mjini Zanzibar 
baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali 
mbali za Serikali.[Picha na Ikulu.]
 Aliyekuwa
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji 
Makeme Mwadini akitoa shukurani kwa wafanyakazi wakati wa kukabidhi 
Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) katika ukumbi wa Ofisi ya Rais na 
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu  Mjini Zanzibar baada ya uteuzi 
wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za 
Serikali.[Picha na Ikulu.]
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 
Mhe,Issa haji Ussi (Gavu) akitoa nasaha zake kwa Wafanyakazi wakati wa 
makabidhiano ya Ofisi na aliyekuwa Waziri ya Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na
 Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini leo katika ukumbi wa Ofisi 
ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu  Mjini Zanzibar baada
 ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za
 Serikali,[Picha na Ikulu.]
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 
Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais 
Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini (katikati) 
wakiombewa dua baada ya makabidhiano ya Ofisi katika ukumbi wa Ofisi ya 
Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu  Mjini Zanzibar baada ya
 uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za 
Serikali.[Picha na Ikulu.]
Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa 
Haji Ussi (Gavu) na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na 
Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini (katikati) wakipeana na 
Makatibu (kulia) Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Salum Maulid Salum na Katibu wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
 wa Baraza la Mapinduzi  Haroub Shaibu Mussa kwa kuwatakia Kheri na 
mafanikio  baada ya makabidhiano ya Ofisi katika ukumbi wa Ofisi ya Rais
 na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu  Mjini Zanzibar,[Picha na 
Ikulu.]






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni