Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwahutubia Wenyeviti, Makatibu wa Chama cha Mapinduzi wa mikoa na 
Wilaya za Tanzania bara na Visiwani Ikulu jijini Dar es Salaam.
Baadhi
 ya Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati 
akitoa hotuba yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Baadhi
 ya Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati 
akitoa hotuba yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza
 kwa makini taarifa zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya Wenyeviti na 
Makatibu wa CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini. Kulia kwake ni makamu wa
 Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Philip Mangula na
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara Mohamed Sinani Ikulu 
jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 jambo na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa Ikulu jijini 
Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
 mkono baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM kutoka mikoa 
mbalimbali nchini mara baada ya kumaliza kuzungumza nao Ikulu jijini Dar
 es Salaam. PICHA NA IKULU
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni