MAJAMBAZI WENYE MTUTU WAMUIBIA MKE WA RAGA DEE

Mke wa msanii wa Uganda, Dan Kazibwe aka Raga Dee amefungua kesi polisi ya kuibiwa na watu waliokuwa na silaha wakati akirejea nyumbani.

Mke huyo Mariam Kazibwe aliyekuwa anarejea nyumbani kwake zoni ya Kizungu, huko Makindye alisimamishwa na watu watatu waliovaa sare za na kumuibia kwa kutumia mtutu.

Majambazi hao walikwangua gari lake, na aliposimama ndipo walipomuibia fedha alizokuwa nazo pamoja na simu zake mbili.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni