Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akifungua Kongamano la Uwekazaji kwa Wafanyabiashara baina ya Tanzania 
na Oman kuhusu kuangalia fursa za uwekezaji katika Nyanja mbalimbali za 
kiuchumi kati ya Nchi mbili hizo, Kongamano hilo limefunguliwa leo April
 13,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regence Dar es salaam.
Washiriki
 wa Kongamano la Uwekezaji kiuchumi kati ya Tanzania na Oman 
wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. 
Samia Suluhu Hassan alipokua akifungua Kongamano hilo kuhusu kuangalia 
fursa za uwekezaji katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi baina ya Nchi 
mbili hizo, Kongamano hilo limefunguliwa leo April 13,2016 katika Hoteli
 ya Hyatt Regence Dar es salaam.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Uwekazaji kwa 
Wafanyabiashara baina ya Tanzania na Oman kuhusu kuangalia fursa za 
uwekezaji katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi kati ya Nchi mbili hizo  
baada ya kufungua Kongamano hilo leo April 13,2016 katika Hoteli ya 
Hyatt Regence Dar es salaam.Picha na OMR
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni