Mwenyekiti
 wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva awakabidhi 
mikanda, virungu na makoti ya kujikinga na mvua kwa wanakikundi cha 
ulinzi shirikishi cha mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Pia
 alizungumza na wananchi wa mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam ili 
kujua changamoto za wananchi wa mtaa huo katika nyaza za ulinzi, usalama
 na Usafi wa mazingira.
 Mwenyekiti
 wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva akifafanua jambo 
alipokuwa akisoma ripoti ya Mtaa wake katika ulinzi , usalama na usafi 
wa mazingira ya mtaa wa Oyster bay jijini Dar es Salaam mwishoni mwa 
wiki.
 Afisa
 Mtendaji wa Mtaa wa Oysterbay, Achema Kalembo akisoma taarifa ya mapato
 na matumizi ya Mtaa wa Oysterbay mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam
 wakati  Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva
 alipokuwa akizungumza na wanamtaa huo ili kujua changamoto mbalimbali 
zinazowakabili wananchi wake.
Baadhi ya wananchi wakichangia maada katika mkutano wa  wananchi wa  Mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mwenyekiti
 wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva akiwakabidhi 
Virungu, Mikanda na Makoti kwa wanakikundi cha ulinzi shirikishi wa mtaa
 wa Osyterbay mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  
 Afisa 
Mtendaji wa Mtaa wa Oysterbay, Achema Kalembo  akizungumza na mwandishi 
wetu mara katika mkutano wa wananchi wa mtaa wa Oysterbay  walipokuwa 
wakizungumza na   Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti
 wa Serikali za Mtaa wa Oysterbay(CCM), Zefrin Lubuva akizungumza na 
mwandishi wetu mara baada ya kukabidhi mikanda, virungu na makoti 
kwaajili ya mvua kwa wanakikundi cha Ulinzi shirikishi wa mtaa wa 
Oysterbay jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni