MALI YASEMA IMEFANIKIWA KUMKAMATA MRATIBU WA MASHAMBULIZI YA KIGAIDI

Mamlaka za nchini Mali zimesema zimemkamata mwanaume mmoja raia wa Mauritanian anayetuhumiwa kuratibu mashambulizi mabaya kwenye hoteli za nchi hiyo mwaka jana.


Mtuhumiwa huyo Fawaz Ould Ahmeida anatuhumiwa kupanga pamoja na mambo mengine shambulizi la Novemba kwenye hoteli ya Radisson Blu katika Jiji la Bamako na kuuwa watu 20.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni