JAJI ATOA UMAUZI WA KUPINGA UANDIKISHAJI WA NDOA ZA MASHOGA CHINA

Jaji nchini China ametoa uamuzi kuwa wanandoa mashoga hawawezi kuandikishwa ndoa yao, katika kesi ya kwanza ya aina hiyo nchini humo.

Mashoga hao Sun Wenlin na Hu Mingliang walifungua shitaka dhidi ya mamlaka za mji wa Changsha baada ombi lao la kuandikisha ndoa yao kukataliwa.

Mwezi Januari mahakama ya wilaya ilikubali kusikiliza kesi hiyo ya kwanza kwa aina hiyo nchini humo.
       Watu wapatao 300 walijitokeza mahakamani kuwaunga mkono wanandoa hao mashoga

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni