Waziri wa
 Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akionyesha kwa wanahabari,
 mpango wa ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka nchini Uganda mpaka Jijini 
Tanga, mara tu baada ya kuwasili nchini akitokea jijini Kampala. Mbali 
na kunufaika kwa Watanzania kupitia Mpango huo, pia utazinufaisha nchi 
nyingine za Afrika Mashariki na Kati.
Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia), 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Juliana Pallangyo 
(wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James 
Mataragio walipokuwa wakimsubiria Waziri wa Nishati na Madini, Profesa 
Sospeter Muhongo alierejea jijini Dar es salaam leo akitokea Jijini 
Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi
 Tanga. 
Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia), 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dk. Juliana Pallangyo 
(wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James 
Mataragio walipokuwa wakimsubiria Waziri wa Nishati na Madini, Profesa 
Sospeter Muhongo alierejea jijini Dar es salaam leo akitokea Jijini 
Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi
 Tanga. 




Hakuna maoni:
Chapisha Maoni