VENEZUELA KUANZA KUKABILIWA NA MGAO WA UMEME WA SAA NNE KUANZIA WIKI IJAYO

Taifa la Venezuela linatarajia kuanza mgao wa umeme wa saa nne kwa siku kuanzia wiki ijayo ili kukabiliana na mgogoro wa nishati ya umeme.

Mgao huo utadumu kwa siku 40 wakati taifa hilo likihangaika kukabiliana na ukame ulioathiri uzalishaji wa umeme kwenye mabawa ya umme.

Uchumi wa Venezuela umezidi kutetereka baada ya bei ya mafuta kushuka thamani na tayari kiwanda kikuu cha bia cha Polar nchini humo kimetangaza kushindwa kununua shari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni