Home
News
Lifestyle
Fashion
Nature
Health
Travel
About
Conact
Habari
Kitaifa
KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA VITUO VYA UHAMIAJI VYA MIPAKANI MKOA WA KILIMANJARO
posted on
00:53:00
Mkuu wa Kituo cha Uhamiaji mpakani Tarakea, wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, John Kapembe akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wapili kushoto aliyevaa kiraia) eneo la Tanzania katika mpaka huo uliopakana na nchi ya Kenya. Rwegasira yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi akitembelea vituo vya Uhamiaji vya mipakani mkoani humo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Afisa Uhamiaji Mkoa (RIO) wa Kilimanjaro, Naibu Kamishna Ambrose Mwanguku (kulia) akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wapili kulia) wakati alipowasili katika Jengo la Kituo cha Pamoja cha huduma mpakani Holili, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya ziara ya kikazi ya kutembelea mipaka ya Uhamiaji mkoani humo Watatu kulia ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Victoria Lembeli.
Kaimu Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Victoria Lembeli akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (katikati meza kuu) azungumze na Maafisa wa Idara ya mbalimbali za Serikali wanaotoa huduma katika Kituo cha Pamoja cha Huduma Mipakani Holili wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro. Rwegasira aliwataka maafisa hao wafanye kazi kwa ushirikiano ili kuiletea maendeleo nchi yao.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (katikati meza kuu) akizungumza na Maafisa wa Idara ya mbalimbali za Serikali wanaotoa huduma katika Kituo cha Pamoja cha Huduma Mipakani cha Holili, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro. Meja Jenerali Rwegasira katika hotuba yake aliwataka maafisa hao wafanye kazi kwa ushirikiano ili kuiletea maendeleo nchi yao.
Kaimu Mkuu wa Kituo cha Uhamiaji mpakani Holili, Edwin Mwasota akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (watatu kulia) moja ya ofisi zilizopo katika Jengo la Kituo cha Pamoja cha Huduma Mipakani cha Holili, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro. Wapili kushoto ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Victoria Lembeli. Meja Jenerali Rwegasira alifanya ziara ya kikazi kwa kutembelea vituo vya Uhamiaji vya mipakani mkoani Kilimanjaro.
Afisa Uhamiaji Mkoa (RIO) wa Kilimanjaro, Naibu Kamishna Ambrose Mwanguku (kushoto) akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wapili kushoto) mpaka Tanzania pamoja na Jengo la Uhamiaji la nchini Kenya (Taveta) wakati walipokuwa juu ya ghorofa ya Jengo la Kituo cha Pamoja cha Huduma Mipakani Holili, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wapili kushoto aliyevaa kiraia) akiondoka katika Jengo la Kituo cha Pamoja cha Huduma Mipakani Holili, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro mara baada ya kumaliza ziara yake ya kulitembelea jengo hilo na kuzungumza na maafisa mbalimbali wa serikali wanaotoa huduma za mpakani mkoani humo. Kushoto ni Afisa Uhamiaji Mkoa (RIO) wa Kilimanjaro, Naibu Kamishna Ambrose Mwanguku na Kulia ni Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika mpakani Holili, Aden Mwakalobo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
About us
Twitter
Facebook
GooglePlus
Pinterest
Linkedin
Instagram
Youtube
Github
Vimeo
Dribbble
Tumblr
Stumbleupon
Delicious
Reddit
Contact
RSS
Popular Posts
TENGERU CDTI YAONGEZA UDAHILI
Na Ahemd Mahmoud Katika juhudi za serikali za kuimarisha mazingira ya ujifunzaji wanafunzi wa kike hapa nchini,Taasisi ya maendeleo ya jami...
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MAGARI NA KAMPUNI YA ASHOK LEYLAND KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, JIJINI DAR
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Job Masima (kulia), Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kutengeneza Magari ya ASHOK L...
MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI KWENYE MAZISHI YA MDHAMINI WA TAASISI YA WAMA MAREHEMU HULDA KIBACHA
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete akipokewa na Mama Zakhia Meghji, Makamu Mwen...
VIJANA WATAKIWA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KUJIAJIRI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Dk Leornad Akwilapo amewataka vijana kutafuta ajira sehemu m...
WANANCHI WAIPONGEZA SERIKALI KWA UJENZI WA VITUO VYA AFYA NCHINI
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Ma...
MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA BENKI ZA WANANCHI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Mkutano wa Wadau wa Benki za Wana...
MKUU WA WILAYA YA HAI,OLE SABAYA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA
Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa Askari wa Jeshi la Akiba ,mafunzo yanayofanyika ...
DAWASCO YABAINI WIZI WA MAJI KIWANDA CHA BAHARI CHEMICALS LTD
Moja ya kisima kinachodaiwa kutumika kuhifadhi maji yanayodaiwa kuibwa kutoka katika mtandao wa maji wa Dawasco. Madumu ya Maji ...
T.I.B YAKUBALI KUTOA FEDHA UJENZI WA HOSPITALI ARUSHA
Na Mahmoud Ahmad Arusha ……………………………………… BENKI ya uwekezaji nchini TIB, imek...
LOWASSA AITIKISA MAKAMBAKO NA NJOMBE JANA
Msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHAD...
Social Share Icons
19,701
9,297
4,182
2,157
1,052
Archives
►
2022
(10)
►
Novemba
(5)
►
Aprili
(2)
►
Machi
(1)
►
Februari
(2)
►
2021
(1)
►
Julai
(1)
►
2018
(499)
►
Novemba
(2)
►
Septemba
(29)
►
Agosti
(83)
►
Julai
(11)
►
Juni
(121)
►
Mei
(79)
►
Aprili
(81)
►
Machi
(54)
►
Februari
(14)
►
Januari
(25)
►
2017
(461)
►
Novemba
(31)
►
Oktoba
(28)
►
Septemba
(24)
►
Agosti
(10)
►
Julai
(9)
►
Juni
(45)
►
Mei
(54)
►
Aprili
(31)
►
Machi
(73)
►
Februari
(112)
►
Januari
(44)
▼
2016
(1558)
►
Desemba
(63)
►
Novemba
(232)
►
Oktoba
(200)
►
Septemba
(142)
►
Agosti
(109)
►
Julai
(130)
►
Juni
(113)
►
Mei
(83)
►
Aprili
(102)
►
Machi
(117)
▼
Februari
(212)
WADAU WAAANZA KUJENGA UELEWA KUHUSU SIKU YA MAGONJ...
MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ...
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA W...
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA WARSHA YA PILI Y...
Mke wa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa WAMA asisitiz...
DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA KWA DUKA LA DAWA L...
KILIMANJARO MARATHON 2016 KATIKA PICHA
NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AZ...
WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA APOKEA MISAADA MBALI ...
RAIS DKT. MAGUFULI AWASILI MKOANI ARUSHA TAYARI KW...
KURASA ZA MAGAZETI YA HARDNEWS NA BURUDANI FEB 27,...
Wanamuziki wajitokeza kwa wingi kumzika gwiji Kass...
TAMWA YASIKITISHWA KESI ZA UBAKAJI/ULAWITI KWA WAT...
MBUNGE COSATO AFANYA ZIARA JIMBONI KUJIONEA SHUGHU...
MAZISHI YA MAREHEMU GERVASE RUTAGUZA YAFANYIKA JIJ...
KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA...
KURASA ZA MAGAZETI YA HARDNEWS NA BURUDANI IJUMAA ...
KURASA ZA MAGAZETI YA UDAKU NA BURUDANI FEBRUARI 2...
KLABU YA KIMATAIFA LIONS CLUB INTERNATIONAL YATOA ...
ZAKIA MEGHJI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI MOI JIJ...
MSAJILI WA HAZINA AKAGUA UJENZI WA MRADI WA ECO RE...
STATEMENT BY HEAD OF UN MISSION IN TANZANIA ON THE...
WAZIRI NAPE AAHIDI UPATIKANAJI WA SERA YA FILAMU N...
SERIKALI YAWAKUTANISHA VIJANA KUUNDA KANUNI ZA UEN...
AfDB Board approves 2016-2020 Country Strategy Pap...
ZANZIBAR KUANZISHA KITUO CHA MTANDAO WA MAENEO YAKE.
MAONYESHO YA TATU YA MASHINE NA MIKOPO YAANZA HUKU...
Ofisi ya Uhusiano, Kitengo cha Masoko TANESCO wael...
NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, AMWAKILISHA MAKA...
WAZIRI MBARAWA AZITAKA TAASISI ZA WIZARA YAKE KUSH...
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELE...
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID MECK SADIKI AZ...
CHAMA CHA BODABODA WILAYA YA NACHINGWEA CHATOA MIK...
NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI YA NCHI, KATIBU MKUU W...
SERIKALI KUTOA MIKATABA MAALUM YA AJIRA SEKTA YA U...
WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO ATETA NA WAFANYABIASHAR...
SHINDA NYUMBA, MSHINDI WA PIKIPIKI AKABIDHIWA
MZEE KASSIM MAPILI AFARIKI DUNIA
MAJALIWA APOKEA VIFAA VYA HOSPITALI KUTOKA MAKAMPU...
TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA JPC NA ZAMBIA
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA BALOZI A TANZ...
TAASISI YA KIISLAMU YA MUZDALIFAT YATOA VIFAA MBAL...
BLOGU YA WANANCHI YATIMIZA MIAKA MITATU SHEREHE KU...
BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA RAIS IKULU LAKUTANA...
SDL KUMALIZIKA WIKIENDI HII
WATOTO WAWILI WA NCHINI AFRIKA KUSINI WAMSHTAKI TB...
ADELE AZOA TUZO NNE KATIKA TUZO ZA WASANII WA MUZI...
ZANZIBAR YAIOMBA UMOJA WA FALME ZA KIARABU KUIUNGA...
TAMASHA LA CHANGIA DAMU KUFANYIKA LEO
JESHI LA POLISI MKOANI KILIMANJARO LANASA BUNDUKI ...
MANCHESTER CITY YAIFUNGA DYNAMO KIEV NYUMBANI KWAO
NYOTA WA FILAMU WA BOLLYWOOD SANJAY DUTT ATOKA JELA
LEO NI BIRTHDAY YA MDAU DIXON BUSAGAGA.
17TH EAC HEADS OF STATE SUMMIT SET FOR 2ND MARCH, ...
NGOMA AFRICA BAND NA MZIMU WAO WA MZIKI WA DANSI !...
TRA yatoa tamko ya kuhusu matumizi ya EFD kwenye v...
PSPF YAWAPA ELIMU WAJASIRIAMALI JUU YA HUDUMA ZAKE
UMUHIMU WA KUDAI RISITI (KIBONZO CHA NATHAN MPANGALA)
Mgambo wasio waadilifu kushughulikiwa.
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC NA UNDP ZAFANYA MIKU...
WAKULIMA WILAYANI RORYA MKOANI MARA WAPATIWA MAFUN...
Wananchi waaswa kutunza miundombinu ya barabara in...
WAJASIRIAMALI WAKULIMA NA WAFUGAJI WATAKIWA KUCHAN...
MKUU WA WILAYA YA ARUSHA AFUNGA MACHIMBO YA MORAMU...
HILI NALO NI JIPU LASUBIRIWA KUTUMBULIWA:: TANESCO...
WAZIRI KAIRUKI AMSIMAMISHA KAZI MKUU WA CHUO CHA U...
BODI YA TSN YAMSIMAMISHA KAZI MHARIRI MTENDAJI
KAMPA KAMPATENA GOOOOOOOOOO HII NI LEO USIKU KWA S...
MHE. RAIS JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMB...
MASHINDANO YA LIGI YA VYUO VIKUU JIJINI MWANZA YAF...
Waziri Muhongo aitaka TANESCO na TPDC kufanya kazi...
KATIBU AFANYA UKAGUZI WA UKARABATI WA UKUMBI WA BU...
PROF. MBARAWA ATOA MWEZI MMOJA KWA MAKANDARASI.
WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA MABALOZI OFISINI K...
Serikali yatoa wito wafanyabiashara wa Mauritius k...
KURASA ZA MAGAZETI YA HARDNEWS NA BURUDANI FEB 23,...
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA MABALOZI N...
WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA MAAFA IRINGA YA SH. ...
MAJALIWA AWATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAFURIKO NA KUP...
MKUU WA WILAYA YA IRINGA MJINI, MH RICHARD KASESEL...
GAVANA AZINDUA MWONGOZO WA KWANZA WA KITAIFA WA EL...
IPIGIE KURA FILAMU YA MPANGO MBAYA KATIKA SHINDANO...
BIBI WA MIAKA 106 ATINGA IKULU KWA FURAHA NA MBWEB...
SOLVE YOUR SPOKEN ENGLISH PROBLEMS IN A MONTH AND ...
DARAJA LA WATEMBEA KWA MIGUU LA FURAHISHA JIJINI M...
WENGER AWATAKA ARSENAL KUTAFUTA MBINU YA KUMDHIBIT...
MADHARA YA POMBE KWA WAJAWAZITO HAYANATOFAUTI NA Y...
MEMPHIS DEPAY AFURAHIA MAISHA NA BINTI WA MCHEKESH...
RAIS MUSEVENI AKANUSHA MADAI YA KUIBA KURA KATIKA ...
DEREVA TEKSI ASHIKILIWA MAREKANI KWA MAUAJI YA WAT...
WAZIRI KITWANGA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WAKUU WA...
RC MAHIZA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI...
Wasanii kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Filamu nchini
Usambazaji mpya wa filamu kwa njia ya digitali Waa...
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA M...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU RIPOTI YA UTAFITI WA WATAL...
Tigo yatoa msaada wa millioni 10/- kwa waathirika ...
TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAENDELEA KUWAELIMIS...
IGP ATANGAZA OPERESHENI KALI DHIDI YA BODABODA.
TCU yafuta vyuo vishiriki vya Mtakatifu Joseph
►
Januari
(55)
►
2015
(1044)
►
Desemba
(177)
►
Novemba
(154)
►
Oktoba
(199)
►
Septemba
(168)
►
Agosti
(93)
►
Julai
(141)
►
Juni
(112)
Inaendeshwa na
Blogger
.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni