NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA MH. LUHAGA MPIGA AKIWA ZIARANI ZANZIBAR

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa na aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo kwa sasa ni mgombea Uwakilishi Jimbo la Kikwajuni Mhe Nassor Salim Jazira akiwa katika ziara hiyo ya Mhe Waziri Zanzibar
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Kikwajuni Mhe. Eng Hamad Yussuf Masauni akimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Jangombe Ali Hassan Omar King wakiwa katika ziara hiyo kutembelea miradi ya Muungano ya Tabia Nchi Zanzibar.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akimsikiliza Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Ndg Juma Bakari Alawi akitowa maelezo jinsi eneo hilo la kilimani lililoathirika na Tabia Nchi Zanzibar likiwa chini ya mradi wa Kujenga Uwezo wa Jamii Kuhimili Mabadiliko Tabia Nchi (LDCDF)kilimani kwa Upandaji wa Mikoko na Uwekaji wa Matuta kuzuiya Mmomonyoko wa Ardhi katika Ukanda wa Bahari.
Eneo ambalo limekumbwa na Tabia nchi katika kilimani likiwa limejaa maji ya pwani
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika ziara yake ya kutembelea miradi ya kuhifadhi mazingira Zanzibar akitembelea moja ya mradi huo ulioko kilimani Zanzibar kujionea jinsi ya hali ya uharabifu wa Tabia Nchi katika eneo hilo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni