WANAJESHI WATATU WA MALI WAFA BAADA YA GARI LAO KUKANYAGA BOMO

Wanajeshi watatu wa Mali wamekufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la aridhini katika mkoa wa kati wa Mopti.

Wanajeshi wawili wengine wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali, taarifa ya wizara ya ulinzi ya nchi hiyo imesema.
Nchi ya Mali imekuwa ikitishiwa na makundi mbalimbali yenye silaha na imekuwa ikipigaa na waasi wenye itikadi kali za Kiislam kaskazini kwa miaka kadhaa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni