DK. SHEIN ATEMBELEA ENEO LA MARUHUBI LITAKAPOJENGWA BANDARI KUANZIA MWEZI WA KWANZA MWAKANI
posted on
Katibu
Mkuu wizara ya Miundo Mbinu na Mawasiliano Juma Malik Akili akitoa
maelezo kwa waandishi wa Habari wa ZBC kuhusiana na Ujenzi wa Bandari ya
Maruhubi ambayo inatarajiwa kujengwa kuanzia Januari mwakani mjini
Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Abdallamwinyi Khamis baada ya kuwasili katika eneo la maruhubi
ambalo linatarajiwa kujengwa Bandari kuanzia Januari mwakani mjini
Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein wakwanza kushoto akipata maelezo ya
ramani ya ujenzi kutoka kwa Injinia Mkuu wa Shirika la Bandari Mbarouk
Hamadi Mbarouk katika ziara ya kutembelea eneo ambalo linatarajiwa
kujengwa Bandari Maruhubi mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein katikati akitembelea eneo linalotarajiwa kujengwa Badari Maruhubi mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein wapili kushoto akipata maelezo kutoka kwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya miundo mbinu na Mawasiliano Juma Malik Akili
wakati alipofanya ziara kutembelea eneo ambalo linatarajiwa kujengwa
Bandari Maruhubi mjini Zanzibar. PICHANA YUSSUF SIMAI -MAELEZO
ZANZIBAR.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni