NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI ATEMBELEA MPAKA WA HOLILI



Naibu Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa  Afrika Mashariki Susan Kolimba akiteta jambo na Meneja wa 
Mamlaka ya Kukusanya kodi nchini Kenya (KRA) Dan Nyambaka katika ziara yake aliyoifanya mpaka wa Holili kati ya Kenya na Tanzania mwishoni mwa wiki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni