Balozi
wa Cuba nchini, Copez Tomo, akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu alipomtembelea
ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu
akirekodi mambo muhimu kwenye 'diary' yake wakati wa mazungumzo na
Balozi wa Cuba nchini, Copez Tomo aliyemtembelea ofisini kwake jijini
Dar es Salaam.
Balozi
wa Uturuki nchini, Bi. Yasemin Fralp akifurahi jambo na Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu
alipomtembelea ofisini kwake na kufanya naye mazungumzo yenye lengo la
kuboresha mahusiano baina ya Tanzania na Uturuki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni